Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Maombolezo 3:2 - Swahili Revised Union Version

2 Ameniongoza na kunipeleka katika giza Wala si katika nuru.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Amenichukua akanipeleka mpaka gizani kusiko na mwanga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Amenichukua akanipeleka mpaka gizani kusiko na mwanga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Amenichukua akanipeleka mpaka gizani kusiko na mwanga.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Amenifukuzia mbali na kunifanya nitembee gizani wala si katika nuru;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Amenifukuzia mbali na kunifanya nitembee gizani wala si katika nuru;

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Ameniongoza na kunipeleka katika giza Wala si katika nuru.

Tazama sura Nakili




Maombolezo 3:2
11 Marejeleo ya Msalaba  

Atakimbizwa kutoka mwangani hata gizani, Na kufukuzwa atoke duniani.


Hapo nilipotazamia mema, ndipo yakaja mabaya; Nami nilipongojea mwanga, likaja giza.


Kwa sababu hiyo hukumu ya haki iko mbali nasi, wala haki haitufikii; twatazamia nuru, na kumbe! Latokea giza; twatazamia mwanga, lakini twaenda katika giza kuu.


Mtukuzeni BWANA, Mungu wenu, kabla hajaleta giza, na kabla miguu yenu haijakwaa juu ya milima yenye giza; na wakati mnapoitazamia nuru, kabla hajaigeuza kuwa kivuli cha mauti, na giza nene.


Niliiangalia nchi, na tazama, ilikuwa ukiwa, haina watu; niliziangalia mbingu, nazo zilikuwa hazina nuru.


Jinsi Bwana alivyomfunika binti Sayuni Kwa wingu katika hasira yake! Ameutupa toka mbinguni hata nchi Huo uzuri wa Israeli; Wala hakukikumbuka kiti cha miguu yake Katika siku ya hasira yake.


utakwenda kwa kupapasapapasa mchana, kama apapasavyo kipofu gizani, wala hufanikiwi katika njia zako; nawe sikuzote utaonewa na kutekwa nyara, wala hapatakuwa na mtu wa kukuokoa.


ni mawimbi ya bahari yasiyozuilika, yakitoa aibu yao wenyewe kama povu; ni nyota zipoteazo, ambao weusi wa giza ndio akiba yao waliowekewa milele.


Na malaika wasioilinda enzi yao wenyewe, lakini wakayaacha makao yao yaliyowahusu, amewaweka katika vifungo vya milele chini ya giza kwa hukumu ya siku ile kuu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo