Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Maombolezo 3:3 - Swahili Revised Union Version

3 Hakika juu yangu augeuza mkono wake Mara kwa mara mchana wote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Amenyosha mkono wake dhidi yangu mimi tu, akanichapa tena na tena mchana kutwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Amenyosha mkono wake dhidi yangu mimi tu, akanichapa tena na tena mchana kutwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Amenyosha mkono wake dhidi yangu mimi tu, akanichapa tena na tena mchana kutwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 hakika, amegeuza mkono wake dhidi yangu tena na tena, mchana kutwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 hakika, amegeuza mkono wake dhidi yangu tena na tena, mchana kutwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Hakika juu yangu augeuza mkono wake Mara kwa mara mchana wote.

Tazama sura Nakili




Maombolezo 3:3
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nilikuwa katika raha, naye akanivunjavunja; Naam, amenishika shingo, na kuniponda; Tena amenisimamisha niwe shabaha yake.


Nihurumieni, nihurumieni, enyi rafiki zangu, Kwa maana mkono wa Mungu umenigusa.


Ikiwa nimewainulia mayatima mkono, Nilipoona msaada wangu langoni;


Kwa kuwa mishale ya huyo Mwenyezi iko ndani yangu, Na roho yangu inainywa sumu yake; Vitisho vya Mungu vimejipanga juu yangu.


Kwa maana mishale yako imenichoma, Na mkono wako umenipata.


nami nitakuelekezea wewe mkono wangu, na kukutakasa takataka zako kabisa, na kukuondolea bati lako lote;


Kwa sababu hiyo hasira ya BWANA imewaka juu ya watu wake, naye amenyosha mkono wake juu yao; akawapiga, navyo vilima vilitetemeka, na mizoga yao ilikuwa kama takataka katika njia kuu. Pamoja na hayo yote hasira yake haikugeukia mbali, lakini mkono wake umenyoshwa hata sasa.


Lakini wakaasi, wakamhuzunisha Roho yake Mtakatifu; kwa hiyo akawageukia, akawa adui, akapigana nao.


BWANA hatamsamehe mtu huyo, lakini wakati huo hasira ya BWANA na wivu wake vitafuka moshi juu ya mtu yule, na laana yote iliyoandikwa katika kitabu hiki itamkalia juu yake, na BWANA atalifuta jina lake chini ya mbingu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo