Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Malaki 1:1 - Swahili Revised Union Version

Ufunuo wa neno la BWANA kwa Israeli kwa mkono wa Malaki

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kauli ya Mwenyezi-Mungu iliyomjia Malaki awaambie Waisraeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kauli ya Mwenyezi-Mungu iliyomjia Malaki awaambie Waisraeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kauli ya Mwenyezi-Mungu iliyomjia Malaki awaambie Waisraeli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Neno la unabii: Neno la Mwenyezi Mungu kwa Israeli kupitia kwa Malaki.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ujumbe: Neno la bwana kwa Israeli kupitia kwa Malaki.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ufunuo wa neno la BWANA kwa Israeli kwa mkono wa Malaki

Tazama sura
Tafsiri zingine



Malaki 1:1
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ufunuo juu ya Babeli; maono aliyoyaona Isaya, mwana wa Amozi.


Na watu hawa, au nabii au kuhani, atakapokuuliza, akisema, Mzigo wa BWANA ni nini? Ndipo utawaambia, Mzigo gani? BWANA asema, Nitawatupilia mbali.


Ufunuo juu ya Ninawi. Kitabu cha maono aliyoyaona Nahumu, Mwelkoshi.


Ufunuo aliouona nabii Habakuki.


Katika mwaka wa pili wa utawala wa mfalme Dario, mwezi wa sita, siku ya kwanza ya mwezi, neno la BWANA lilimjia Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, mtawala wa Yuda, na Yoshua, mwana wa Yehosadaki, kuhani mkuu, kwa kinywa chake nabii Hagai, kusema,


Katika mwezi wa saba, siku ya ishirini na moja ya mwezi, neno la BWANA lilikuja kwa kinywa cha nabii Hagai, kusema,


Ufunuo wa neno la BWANA juu ya Israeli. Haya ndiyo asemayo BWANA, azitandaye mbingu, auwekaye msingi wa dunia, aiumbaye roho ya mwanadamu ndani yake.


Ufunuo wa neno la BWANA, lililosemwa juu ya nchi ya Hadraki, na Dameski itakuwa mahali pake pa kustarehe; kwa maana jicho la mwanadamu na la kabila zote za Israeli linamwelekea BWANA;


Yuda ametenda kwa hiana, na chukizo limetendeka katika Israeli, na katika Yerusalemu; maana Yuda ameunajisi utakatifu wa BWANA aupendao, naye amemwoa binti ya mungu mgeni.