Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 7:48 - Swahili Revised Union Version

Kisha alimwambia mwanamke, Umesamehewa dhambi zako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Yesu akamwambia yule mwanamke, “Umesamehewa dhambi zako.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Yesu akamwambia yule mwanamke, “Umesamehewa dhambi zako.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Yesu akamwambia yule mwanamke, “Umesamehewa dhambi zako.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha akamwambia yule mwanamke, “Dhambi zako zimesamehewa.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha akamwambia yule mwanamke, “Dhambi zako zimesamehewa.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha alimwambia mwanamke, Umesamehewa dhambi zako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 7:48
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na tazama, wakamletea mtu mwenye kupooza, akiwa amelala kitandani; naye Yesu, alipoiona imani yao, alimwambia yule mwenye kupooza, Jipe moyo mkuu, mwanangu, umesamehewa dhambi zako.


Kwa maana rahisi ni lipi, ni kusema, Umesamehewa dhambi zako, au ni kusema, Ondoka, uende?


Naye Yesu, alipoiona imani yao, akamwambia yule mwenye kupooza, Mwanangu, umesamehewa dhambi zako.


Vyepesi ni vipi, kumwambia mwenye kupooza, Umesamehewa dhambi zako, au kusema, Ondoka, ujitwike godoro lako, uende?


Naye alipoiona imani yao, alimwambia, Ee rafiki, umesamehewa dhambi zako.


Lililo jepesi ni lipi? Kusema, Umesamehewa dhambi zako, au kusema, Ondoka, uende?


Kwa ajili ya hayo nakuambia, Amesamehewa dhambi zake ambazo ni nyingi, kwa kuwa amependa sana; lakini asamehewaye kidogo, huyo hupenda kidogo.