Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 9:5 - Swahili Revised Union Version

5 Kwa maana rahisi ni lipi, ni kusema, Umesamehewa dhambi zako, au ni kusema, Ondoka, uende?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Ni lipi lililo rahisi zaidi: Kusema, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Simama, utembee?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Ni lipi lililo rahisi zaidi: Kusema, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Simama, utembee?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Ni lipi lililo rahisi zaidi: kusema, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Simama, utembee?’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Je, ni lipi lililo rahisi zaidi: kusema, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Inuka, uende’?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Je, ni lipi lililo rahisi zaidi: kusema, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Inuka, uende’?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Kwa maana rahisi ni lipi, ni kusema, Umesamehewa dhambi zako, au ni kusema, Ondoka, uende?

Tazama sura Nakili




Mathayo 9:5
15 Marejeleo ya Msalaba  

Na tazama, wakamletea mtu mwenye kupooza, akiwa amelala kitandani; naye Yesu, alipoiona imani yao, alimwambia yule mwenye kupooza, Jipe moyo mkuu, mwanangu, umesamehewa dhambi zako.


Lakini mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya kusamehe dhambi, (amwambia yule mwenye kupooza) Inuka, ujitwike kitanda chako, uende nyumbani kwako.


Naye Yesu, alipoiona imani yao, akamwambia yule mwenye kupooza, Mwanangu, umesamehewa dhambi zako.


Naye alipoiona imani yao, alimwambia, Ee rafiki, umesamehewa dhambi zako.


Kisha alimwambia mwanamke, Umesamehewa dhambi zako.


Na kwa imani katika jina lake, jina lake limemtia nguvu mtu huyu mnayemwona na kumjua; na imani ile iliyo kwake yeye imempatia huyu uzima huu mkamilifu mbele yenu ninyi nyote.


Petro akamwambia, Ainea, Yesu Kristo akuponya; inuka, ujitandikie. Mara akainuka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo