Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 7:49 - Swahili Revised Union Version

49 Ndipo wale walioketi chakulani pamoja naye walianza kusema mioyoni mwao, Ni nani huyu hata asamehe dhambi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

49 Ndipo wale waliokuwa pamoja naye mezani wakaulizana, “Ni mtu wa namna gani huyu awezaye kusamehe dhambi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

49 Ndipo wale waliokuwa pamoja naye mezani wakaulizana, “Ni mtu wa namna gani huyu awezaye kusamehe dhambi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

49 Ndipo wale waliokuwa pamoja naye mezani wakaulizana, “Ni mtu wa namna gani huyu awezaye kusamehe dhambi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

49 Lakini wale waliokuwa wameketi pamoja naye chakulani wakaanza kusemezana wao kwa wao, “Huyu ni nani ambaye hata anasamehe dhambi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

49 Lakini wale waliokuwa wameketi pamoja naye chakulani wakaanza kusemezana wao kwa wao, “Huyu ni nani ambaye hata anasamehe dhambi?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

49 Ndipo wale walioketi chakulani pamoja naye walianza kusema mioyoni mwao, Ni nani huyu hata asamehe dhambi?

Tazama sura Nakili




Luka 7:49
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa alipoketi nyumbani ale chakula, tazama, watoza ushuru wengi na wenye dhambi walikuja wakaketi pamoja na Yesu na wanafunzi wake.


Na tazama, baadhi ya waandishi wakasema nafsini mwao, Huyu anakufuru.


Mbona huyu anasema hivi? Anakufuru. Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa mmoja, ndiye Mungu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo