Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 7:48 - Swahili Revised Union Version

48 Kisha alimwambia mwanamke, Umesamehewa dhambi zako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

48 Basi, Yesu akamwambia yule mwanamke, “Umesamehewa dhambi zako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

48 Basi, Yesu akamwambia yule mwanamke, “Umesamehewa dhambi zako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

48 Basi, Yesu akamwambia yule mwanamke, “Umesamehewa dhambi zako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

48 Kisha akamwambia yule mwanamke, “Dhambi zako zimesamehewa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

48 Kisha akamwambia yule mwanamke, “Dhambi zako zimesamehewa.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

48 Kisha alimwambia mwanamke, Umesamehewa dhambi zako.

Tazama sura Nakili




Luka 7:48
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na tazama, wakamletea mtu mwenye kupooza, akiwa amelala kitandani; naye Yesu, alipoiona imani yao, alimwambia yule mwenye kupooza, Jipe moyo mkuu, mwanangu, umesamehewa dhambi zako.


Kwa maana rahisi ni lipi, ni kusema, Umesamehewa dhambi zako, au ni kusema, Ondoka, uende?


Naye Yesu, alipoiona imani yao, akamwambia yule mwenye kupooza, Mwanangu, umesamehewa dhambi zako.


Vyepesi ni vipi, kumwambia mwenye kupooza, Umesamehewa dhambi zako, au kusema, Ondoka, ujitwike godoro lako, uende?


Naye alipoiona imani yao, alimwambia, Ee rafiki, umesamehewa dhambi zako.


Lililo jepesi ni lipi? Kusema, Umesamehewa dhambi zako, au kusema, Ondoka, uende?


Kwa ajili ya hayo nakuambia, Amesamehewa dhambi zake ambazo ni nyingi, kwa kuwa amependa sana; lakini asamehewaye kidogo, huyo hupenda kidogo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo