Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 5:23 - Swahili Revised Union Version

23 Lililo jepesi ni lipi? Kusema, Umesamehewa dhambi zako, au kusema, Ondoka, uende?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Ni lipi lililo rahisi zaidi: Kusema, ‘Umesamehewa dhambi,’ au kusema, ‘Simama utembee?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Ni lipi lililo rahisi zaidi: Kusema, ‘Umesamehewa dhambi,’ au kusema, ‘Simama utembee?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Ni lipi lililo rahisi zaidi: kusema, ‘Umesamehewa dhambi,’ au kusema, ‘Simama utembee?’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Je, ni lipi lililo rahisi zaidi, kumwambia, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Inuka, uende’?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Je, ni lipi lililo rahisi zaidi, kumwambia, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Inuka, uende’?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Lililo jepesi ni lipi? Kusema, Umesamehewa dhambi zako, au kusema, Ondoka, uende?

Tazama sura Nakili




Luka 5:23
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na tazama, wakamletea mtu mwenye kupooza, akiwa amelala kitandani; naye Yesu, alipoiona imani yao, alimwambia yule mwenye kupooza, Jipe moyo mkuu, mwanangu, umesamehewa dhambi zako.


Kwa maana rahisi ni lipi, ni kusema, Umesamehewa dhambi zako, au ni kusema, Ondoka, uende?


Vyepesi ni vipi, kumwambia mwenye kupooza, Umesamehewa dhambi zako, au kusema, Ondoka, ujitwike godoro lako, uende?


Na Yesu alijua hoja zao, akajibu akawaambia, Mnajiuliza nini mioyoni mwenu?


Lakini, mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya kusamehe dhambi, (alimwambia yule mwenye kupooza). Nakuambia, Ondoka, ujitwike kitanda chako, ukaende zako nyumbani kwako.


Kisha alimwambia mwanamke, Umesamehewa dhambi zako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo