Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 5:11 - Swahili Revised Union Version

Hata walipokwisha kuziegesha mashua zao pwani, wakaacha vyote wakamfuata.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, baada ya kuzileta zile mashua ukingoni mwa ziwa, wakaacha yote, wakamfuata.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, baada ya kuzileta zile mashua ukingoni mwa ziwa, wakaacha yote, wakamfuata.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, baada ya kuzileta zile mashua ukingoni mwa ziwa, wakaacha yote, wakamfuata.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo wakasogeza mashua zao hadi ufuoni mwa bahari, wakaacha kila kitu na kumfuata.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo wakasogeza mashua zao mpaka ufuoni mwa bahari, wakaacha kila kitu na kumfuata.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hata walipokwisha kuziegesha mashua zao pwani, wakaacha vyote wakamfuata.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 5:11
11 Marejeleo ya Msalaba  

Apendaye baba au mama kuliko mimi, hanistahili; wala apendaye mwana au binti kuliko mimi, hanistahili.


Ndipo Petro akajibu, akamwambia, Tazama, sisi tumeacha vyote tukakufuata; tutapata nini basi?


Na kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu wa kiume au wa kike, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia, na kuurithi uzima wa milele.


Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.


Mara wakaiacha mashua na baba yao, wakamfuata.


Yesu akamkazia macho, akampenda, akamwambia, Umepungukiwa na neno moja. Nenda, ukauze ulivyo navyo vyote, uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha njoo unifuate.


Akaacha vyote, akaondoka, akamfuata.