Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 3:20 - Swahili Revised Union Version

aliongeza na hili juu ya yote, alimfunga Yohana gerezani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha Herode akazidisha ubaya wake kwa kumtia Yohane gerezani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha Herode akazidisha ubaya wake kwa kumtia Yohane gerezani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha Herode akazidisha ubaya wake kwa kumtia Yohane gerezani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Herode aliongezea jambo hili kwa hayo mengine yote: alimfunga Yahya gerezani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Herode aliongezea jambo hili kwa hayo mengine yote: alimfunga Yahya gerezani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

aliongeza na hili juu ya yote, alimfunga Yohana gerezani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 3:20
14 Marejeleo ya Msalaba  

Na Manase akazimwaga damu zisizo na hatia, nyingi sana, hata alipokuwa ameijaza Yerusalemu tangu upande huu hata upande huu; zaidi ya kosa lake alilowakosesha Yuda, kutenda yaliyo mabaya machoni pa BWANA.


tena kwa ajili ya damu zisizo na hatia alizozimwaga; kwani aliujaza Yerusalemu damu zisizo na hatia; wala BWANA hakukubali kusamehe.


lakini waliwadhihaki wajumbe wa Mungu, na kuyadharau maneno yake, na kuwacheka manabii wake, hata ilipozidi ghadhabu ya BWANA juu ya watu wake, hata kusiwe na kuponya.


Walakini hawakukutii, wakakuasi, wakaitupa sheria yako nyuma yao, wakawaua manabii wako waliowaonya ili wapate kukurudia wewe; wakakufuru sana.


Nimewapiga watoto wako bure; hawakukubali kurudiwa; upanga wenu wenyewe umewala manabii wako, kama simba aharibuye.


Basi Yesu aliposikia ya kwamba Yohana amefungwa, alikwenda zake mpaka Galilaya;


Maana Yohana alikuwa hajatiwa gerezani.


kwa kuwa walimwaga damu ya watakatifu na ya manabii, nawe umewapa damu wainywe; ndiyo wanayostahili.