Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 3:24 - Swahili Revised Union Version

24 Maana Yohana alikuwa hajatiwa gerezani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 (Wakati huo Yohane alikuwa bado hajafungwa gerezani.)

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 (Wakati huo Yohane alikuwa bado hajafungwa gerezani.)

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 (Wakati huo Yohane alikuwa bado hajafungwa gerezani.)

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 (Hii ilikuwa kabla Yahya hajafungwa gerezani.)

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 (Hii ilikuwa kabla Yahya hajatiwa gerezani).

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Maana Yohana alikuwa hajatiwa gerezani.

Tazama sura Nakili




Yohana 3:24
6 Marejeleo ya Msalaba  

Maana Herode alikuwa amemkamata Yohana, akamfunga, akamtia gerezani, kwa ajili ya Herodia, mke wa Filipo nduguye.


Basi Yesu aliposikia ya kwamba Yohana amefungwa, alikwenda zake mpaka Galilaya;


Kwa maana Herode mwenyewe alikuwa ametuma watu, akamkamata Yohana, akamfunga gerezani, kwa ajili ya Herodia, mkewe Filipo, ndugu yake, kwa kuwa amemwoa;


Yohana naye alikuwa akibatiza huko Ainoni, karibu na Salimu, kwa sababu huko kulikuwa na maji tele; na watu wakamwendea, wakabatizwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo