Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 4:12 - Swahili Revised Union Version

12 Basi Yesu aliposikia ya kwamba Yohana amefungwa, alikwenda zake mpaka Galilaya;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Yesu aliposikia kwamba Yohane ametiwa gerezani alikwenda Galilaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Yesu aliposikia kwamba Yohane ametiwa gerezani alikwenda Galilaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Yesu aliposikia kwamba Yohane ametiwa gerezani alikwenda Galilaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Isa aliposikia kwamba Yahya alikuwa amefungwa gerezani, alirudi Galilaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Isa aliposikia kwamba Yahya alikuwa ametiwa gerezani, alirudi Galilaya.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Basi Yesu aliposikia ya kwamba Yohana amefungwa, alikwenda zake mpaka Galilaya;

Tazama sura Nakili




Mathayo 4:12
13 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yohana aliposikia huko gerezani matendo yake Kristo, alituma wanafunzi wake, kumwuliza,


Maana Herode alikuwa amemkamata Yohana, akamfunga, akamtia gerezani, kwa ajili ya Herodia, mke wa Filipo nduguye.


Hata baada ya Yohana kutiwa gerezani, Yesu akaenda Galilaya, akiihubiri Habari Njema ya Mungu,


Kwa maana Herode mwenyewe alikuwa ametuma watu, akamkamata Yohana, akamfunga gerezani, kwa ajili ya Herodia, mkewe Filipo, ndugu yake, kwa kuwa amemwoa;


Nao walisisitiza sana, wakisema, Huwataharakisha watu, akifundisha katika Yudea yote, tokea Galilaya mpaka huku.


aliongeza na hili juu ya yote, alimfunga Yohana gerezani.


Yesu akarudi kwa nguvu za Roho, akaendea Galilaya; habari zake zikaenea katika nchi zote za kandokando.


Akashuka mpaka Kapernaumu, mji wa Galilaya, akawa akiwafundisha siku ya sabato;


Kesho yake alitaka kuondoka kwenda Galilaya, naye akamwona Filipo. Yesu akamwambia, Nifuate.


Mwanzo huo wa ishara Yesu aliufanya huko Kana ya Galilaya, akaudhihirisha utukufu wake, nao wanafunzi wake wakamwamini.


Maana Yohana alikuwa hajatiwa gerezani.


Na baada ya siku mbili hizo akaondoka huko, akaenda Galilaya.


Hiyo ni ishara ya pili aliyoifanya Yesu, alipokuwa ametoka Yudea kwenda Galilaya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo