Mathayo 4:12 - Swahili Revised Union Version12 Basi Yesu aliposikia ya kwamba Yohana amefungwa, alikwenda zake mpaka Galilaya; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Yesu aliposikia kwamba Yohane ametiwa gerezani alikwenda Galilaya. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Yesu aliposikia kwamba Yohane ametiwa gerezani alikwenda Galilaya. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Yesu aliposikia kwamba Yohane ametiwa gerezani alikwenda Galilaya. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Isa aliposikia kwamba Yahya alikuwa amefungwa gerezani, alirudi Galilaya. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Isa aliposikia kwamba Yahya alikuwa ametiwa gerezani, alirudi Galilaya. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Basi Yesu aliposikia ya kwamba Yohana amefungwa, alikwenda zake mpaka Galilaya; Tazama sura |