Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 4:11 - Swahili Revised Union Version

11 Kisha Ibilisi akamwacha; na tazama, wakaja malaika wakamtumikia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Basi, Ibilisi akamwacha, na malaika wakaja, wakamhudumia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Basi, Ibilisi akamwacha, na malaika wakaja, wakamhudumia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Basi, Ibilisi akamwacha, na malaika wakaja, wakamhudumia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Ndipo ibilisi akamwacha, nao malaika wakaja na kumhudumia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Ndipo ibilisi akamwacha, nao malaika wakaja na kumhudumia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Kisha Ibilisi akamwacha; na tazama, wakaja malaika wakamtumikia.

Tazama sura Nakili




Mathayo 4:11
13 Marejeleo ya Msalaba  

Akatazama, kumbe! Pana mkate umeokwa juu ya makaa, na gudulia la maji, kichwani pake. Akala, akanywa, akajinyosha tena.


Ama wadhani ya kuwa mimi siwezi kumsihi Baba yangu, naye ataniletea sasa hivi zaidi ya majeshi kumi na mawili ya malaika?


akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, jitupe chini; kwa maana imeandikwa, Atakuagizia malaika zake; Na mikononi mwao watakuchukua; Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.


Akawako huko jangwani siku arubaini, hali akijaribiwa na Shetani; naye alikuwa pamoja na wanyama wa mwituni, na malaika walikuwa wakimhudumia.


Malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu.


Kila siku nilipokuwa pamoja nanyi hekaluni hamkuninyoshea mikono, lakini hii ndiyo saa yenu, na mamlaka ya giza.


Basi alipomaliza kila jaribu, Ibilisi akamwacha akaenda zake kwa muda.


Mimi sitasema nanyi maneno mengi tena, kwa maana anakuja mkuu wa ulimwengu huu, wala hana kitu kwangu.


Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulikana kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu.


Je! Hao wote si roho watumikao, wakitumwa kuwahudumia wale watakaourithi wokovu?


Hata tena, amletapo mzaliwa wa kwanza ulimwenguni, asema, Na wamsujudu malaika wote wa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo