Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 23:54 - Swahili Revised Union Version

Na siku ile ilikuwa siku ya Maandalio, na sabato ikaanza kuingia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Siku hiyo ilikuwa Ijumaa, na maandalio ya siku ya Sabato yalikuwa yanaanza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Siku hiyo ilikuwa Ijumaa, na maandalio ya siku ya Sabato yalikuwa yanaanza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Siku hiyo ilikuwa Ijumaa, na maandalio ya siku ya Sabato yalikuwa yanaanza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ilikuwa Siku ya Maandalizi, nayo Sabato ilikuwa karibu kuanza.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ilikuwa Siku ya Maandalizi, nayo Sabato ilikuwa karibu kuanza.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na siku ile ilikuwa siku ya Maandalio, na sabato ikaanza kuingia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 23:54
6 Marejeleo ya Msalaba  

Hata siku ya pili, ndiyo iliyo baada ya Maandalio, wakuu wa makuhani, na Mafarisayo wakamkusanyikia Pilato,


Ilipofika wakati wa jioni, kwa sababu ni Maandalio, ndiyo siku iliyo kabla ya sabato,


Akaushusha, akauzinga sanda ya kitani, akauweka katika kaburi lililochongwa mwambani, ambalo hajalazwa mtu bado ndani yake.


Nayo ilikuwa Maandalio ya Pasaka, yapata saa sita. Akawaambia Wayahudi, Tazama, Mfalme wenu!


Basi Wayahudi, kwa sababu ni Maandalio, miili isikae juu ya misalaba siku ya sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku kubwa), walimwomba Pilato miguu yao ivunjwe, wakaondolewe.


Humo basi, kwa sababu ya Maandalio ya Wayahudi, wakamweka Yesu; maana lile kaburi lilikuwa karibu.