Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 23:20 - Swahili Revised Union Version

Basi Pilato alisema nao mara ya pili, kwa vile alivyotaka kumfungua Yesu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Pilato alitaka kumwachilia Yesu, hivyo akasema nao tena;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Pilato alitaka kumwachilia Yesu, hivyo akasema nao tena;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Pilato alitaka kumwachilia Yesu, hivyo akasema nao tena;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Pilato, akitaka kumwachia Isa, akasema nao tena.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Pilato, akitaka kumwachia Isa, akasema nao tena.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Pilato alisema nao mara ya pili, kwa vile alivyotaka kumfungua Yesu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 23:20
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na alipokuwa ameketi juu ya kiti cha hukumu, mkewe alimpelekea mjumbe, kumwambia, Usiwe na neno na yule mwenye haki; kwa sababu nimeteswa mengi leo katika ndoto kwa ajili yake.


Pilato kwa kupenda kuwaridhisha watu, akawafungulia Baraba; akamtoa Yesu, baada ya kumpiga mijeledi, ili asulubiwe.


Naye ni mtu aliyetupwa gerezani kwa ajili ya fitina iliyotokea mjini, na kwa uuaji


Lakini wakapiga kelele, wakisema, Msulubishe. Msulubishe.


Na tangu hapo Pilato akatafuta kumfungua; lakini Wayahudi wakapiga makelele wakisema, Ukimfungua huyu, wewe si rafiki yake Kaisari; kila mtu ajifanyaye kuwa mfalme humfitini Kaisari.