Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 2:29 - Swahili Revised Union Version

Sasa, Bwana, wamruhusu mtumishi wako, Kwa amani, kama ulivyosema;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Sasa Bwana, umetimiza ahadi yako, umruhusu mtumishi wako aende kwa amani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Sasa Bwana, umetimiza ahadi yako, umruhusu mtumishi wako aende kwa amani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Sasa Bwana, umetimiza ahadi yako, umruhusu mtumishi wako aende kwa amani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Bwana Mungu Mwenyezi, kama ulivyoahidi, sasa mruhusu mtumishi wako aende kwa amani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Bwana Mwenyezi, kama ulivyoahidi, sasa wamruhusu mtumishi wako aende zake kwa amani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Sasa, Bwana, wamruhusu mtumishi wako, Kwa amani, kama ulivyosema;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 2:29
9 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini wewe utakwenda kwa baba zako kwa amani, utazikwa katika uzee mwema.


Israeli akamwambia Yusufu, Na nife sasa, kwa kuwa nimekuona uso wako, ya kuwa ungali hai.


Umwangalie sana mtu mkamilifu, Umtazame mtu mnyofu, Maana mwisho wake mtu huyo ni amani.


Naye alikuwa ameonywa na Roho Mtakatifu ya kwamba hataona mauti kabla ya kumwona Kristo wa Bwana.


yeye mwenyewe alimpokea mikononi mwake, akamshukuru Mungu, akisema,


Ninasongwa katikati ya mambo mawili; ninatamani kwenda zangu nikae na Kristo maana ni vizuri zaidi sana;


Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.


Wakalia kwa sauti kuu, wakisema, Ee Mola, Mtakatifu, na Mkweli, utakawia hadi lini kuhukumu na kuilipa damu yetu kwa hao wakaao juu ya nchi?