Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 2:29 - Swahili Revised Union Version

29 Sasa, Bwana, wamruhusu mtumishi wako, Kwa amani, kama ulivyosema;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 “Sasa Bwana, umetimiza ahadi yako, umruhusu mtumishi wako aende kwa amani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 “Sasa Bwana, umetimiza ahadi yako, umruhusu mtumishi wako aende kwa amani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 “Sasa Bwana, umetimiza ahadi yako, umruhusu mtumishi wako aende kwa amani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 “Bwana Mungu Mwenyezi, kama ulivyoahidi, sasa mruhusu mtumishi wako aende kwa amani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 “Bwana Mwenyezi, kama ulivyoahidi, sasa wamruhusu mtumishi wako aende zake kwa amani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

29 Sasa, Bwana, wamruhusu mtumishi wako, Kwa amani, kama ulivyosema;

Tazama sura Nakili




Luka 2:29
9 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini wewe utakwenda kwa baba zako kwa amani, utazikwa katika uzee mwema.


Israeli akamwambia Yusufu, Na nife sasa, kwa kuwa nimekuona uso wako, ya kuwa ungali hai.


Umwangalie sana mtu mkamilifu, Umtazame mtu mnyofu, Maana mwisho wake mtu huyo ni amani.


Naye alikuwa ameonywa na Roho Mtakatifu ya kwamba hataona mauti kabla ya kumwona Kristo wa Bwana.


yeye mwenyewe alimpokea mikononi mwake, akamshukuru Mungu, akisema,


Ninasongwa katikati ya mambo mawili; ninatamani kwenda zangu nikae na Kristo maana ni vizuri zaidi sana;


Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.


Wakalia kwa sauti kuu, wakisema, Ee Mola, Mtakatifu, na Mkweli, utakawia hadi lini kuhukumu na kuilipa damu yetu kwa hao wakaao juu ya nchi?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo