Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 2:28 - Swahili Revised Union Version

yeye mwenyewe alimpokea mikononi mwake, akamshukuru Mungu, akisema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Simeoni alimpokea mtoto Yesu mikononi mwake huku akimtukuza Mungu, akisema:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Simeoni alimpokea mtoto Yesu mikononi mwake huku akimtukuza Mungu, akisema:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Simeoni alimpokea mtoto Yesu mikononi mwake huku akimtukuza Mungu, akisema:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ndipo Simeoni akampokea mtoto mikononi mwake na kumsifu Mungu, akisema:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ndipo Simeoni akampokea mtoto mikononi mwake na kumsifu Mwenyezi Mungu, akisema:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

yeye mwenyewe alimpokea mikononi mwake, akamshukuru Mungu, akisema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 2:28
13 Marejeleo ya Msalaba  

Mfurahieni BWANA; Shangilieni, enyi wenye haki Pigeni vigelegele vya furaha; Ninyi nyote mlio wanyofu wa moyo.


Akawakumbatia, akaweka mikono yake juu yao, akawabariki.


Akatwaa kitoto, akamweka katikati yao, akamkumbatia, akawaambia,


Mariamu akasema, Moyo wangu wamwadhimisha Bwana,


Papo hapo kinywa chake kikafunguliwa na ulimi wake pia, akaanza kunena akimsifu Mungu.


Atukuzwe Bwana, Mungu wa Israeli, Kwa kuwa amewajia watu wake, na kuwakomboa.


Wale wachungaji wakarudi, huku wanamtukuza Mungu na kumsifu kwa mambo yote waliyosikia na kuyaona, kama walivyoambiwa.


Basi akaja hekaluni ameongozwa na Roho; na wale wazazi walipomleta mtoto Yesu ndani, ili wamfanyie kama ilivyokuwa desturi ya sheria,


Sasa, Bwana, wamruhusu mtumishi wako, Kwa amani, kama ulivyosema;


Ripoti hiyo ikawaridhisha Waisraeli; nao Waisraeli wakamhimidi Mungu, wala hawakusema tena habari ya kuwaendea ili kupigana nao, wala kuiharibu nchi waliyoikaa wana wa Reubeni, na wana wa Gadi.