Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 2:18 - Swahili Revised Union Version

Wote waliosikia wakastaajabu kwa hayo waliyoambiwa na wachungaji.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wote waliosikia hayo walishangaa juu ya habari walizoambiwa na wachungaji.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wote waliosikia hayo walishangaa juu ya habari walizoambiwa na wachungaji.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wote waliosikia hayo walishangaa juu ya habari walizoambiwa na wachungaji.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nao wote waliosikia habari hizi wakastaajabia yale waliyoambiwa na wale wachungaji wa kondoo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nao wote waliosikia habari hizi wakastaajabia yale waliyoambiwa na wale wachungaji wa kondoo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wote waliosikia wakastaajabu kwa hayo waliyoambiwa na wachungaji.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 2:18
8 Marejeleo ya Msalaba  

Angalieni, mimi na watoto hawa niliopewa na BWANA tu ishara na ajabu katika Israeli, zitokazo kwa BWANA wa majeshi, yeye akaaye katika mlima Sayuni.


Walipomwona wakatoa habari waliyoambiwa juu ya huyo mtoto.


Lakini Mariamu akayaweka maneno hayo yote, akiyafikiri moyoni mwake.


Na babaye na mamaye walikuwa wakiyastaajabia hayo yaliyonenwa juu yake.


Nao wote waliomsikia walistaajabia fahamu zake na majibu yake.


Mshangao ukawashika wote, wakasemezana wakisema, Ni neno gani hili, maana awaamuru pepo wachafu kwa uwezo na nguvu, nao hutoka.