Luka 2:33 - Swahili Revised Union Version33 Na babaye na mamaye walikuwa wakiyastaajabia hayo yaliyonenwa juu yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema33 Baba yake Yesu na mama yake walikuwa wakistaajabia maneno aliyosema Simeoni juu ya mtoto. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND33 Baba yake Yesu na mama yake walikuwa wakistaajabia maneno aliyosema Simeoni juu ya mtoto. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza33 Baba yake Yesu na mama yake walikuwa wakistaajabia maneno aliyosema Simeoni juu ya mtoto. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu33 Naye Yusufu na mama yake mtoto wakastaajabu kwa yale yaliyokuwa yamesemwa kumhusu huyo mtoto. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu33 Naye Yusufu na mama yake mtoto wakastaajabu kwa yale yaliyokuwa yamesemwa kumhusu huyo mtoto. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI33 Na babaye na mamaye walikuwa wakiyastaajabia hayo yaliyonenwa juu yake. Tazama sura |