Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 19:35 - Swahili Revised Union Version

Wakampeleka kwa Yesu, wakatandika nguo zao juu ya mwanapunda, wakampandisha Yesu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, wakampelekea Yesu yule mwanapunda. Kisha wakatandika mavazi yao juu yake, wakampandisha Yesu juu yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, wakampelekea Yesu yule mwanapunda. Kisha wakatandika mavazi yao juu yake, wakampandisha Yesu juu yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, wakampelekea Yesu yule mwanapunda. Kisha wakatandika mavazi yao juu yake, wakampandisha Yesu juu yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakamleta kwa Isa, nao baada ya kutandika mavazi yao juu ya huyo mwana-punda, wakampandisha Isa juu yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakamleta kwa Isa, nao baada ya kutandika mavazi yao juu ya huyo mwana-punda, wakampandisha Isa juu yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakampeleka kwa Yesu, wakatandika nguo zao juu ya mwanapunda, wakampandisha Yesu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 19:35
9 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakafanya haraka, kila mtu akalitwaa vazi lake, na kulitia chini yake juu ya madaraja, wakapiga baragumu wakasema, Yehu ni mfalme.


Haya yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na nabii, akisema,


wakamleta yule punda na mwanapunda, wakaweka nguo zao juu yao, naye akaketi juu yake.


Wakasema, Bwana anamhitaji.


Na alipokuwa akienda walitandaza nguo zao njiani.


Nayo kesho yake watu wengi walioijia sikukuu walisikia ya kwamba Yesu anakuja Yerusalemu;


Naye Yesu alikuwa amepata mwanapunda, akampanda, kama vile iliyoandikwa,