Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 19:36 - Swahili Revised Union Version

36 Na alipokuwa akienda walitandaza nguo zao njiani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Yesu akaendelea na safari, na watu wakatandaza mavazi yao barabarani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Yesu akaendelea na safari, na watu wakatandaza mavazi yao barabarani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Yesu akaendelea na safari, na watu wakatandaza mavazi yao barabarani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Alipokuwa akienda, watu wakatandaza mavazi yao barabarani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Alipokuwa akienda akiwa amempanda, watu wakatandaza mavazi yao barabarani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

36 Na alipokuwa akienda walitandaza nguo zao njiani.

Tazama sura Nakili




Luka 19:36
4 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakafanya haraka, kila mtu akalitwaa vazi lake, na kulitia chini yake juu ya madaraja, wakapiga baragumu wakasema, Yehu ni mfalme.


Watu wengi katika ule mkutano wakatandaza nguo zao njiani; na wengine wakakata matawi ya miti, wakayatandaza njiani.


Wakampeleka kwa Yesu, wakatandika nguo zao juu ya mwanapunda, wakampandisha Yesu.


Na alipokuwa amekaribia mteremko wa mlima wa Mizeituni, kundi zima la wanafunzi wake walianza kufurahi na kumsifu Mungu kwa sauti kuu, kwa ajili ya matendo yote ya uwezo waliyoyaona,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo