Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 12:12 - Swahili Revised Union Version

12 Nayo kesho yake watu wengi walioijia sikukuu walisikia ya kwamba Yesu anakuja Yerusalemu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Kesho yake, kundi kubwa la watu waliokuja kwenye sikukuu walisikia kuwa Yesu alikuwa njiani kuja Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Kesho yake, kundi kubwa la watu waliokuja kwenye sikukuu walisikia kuwa Yesu alikuwa njiani kuja Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Kesho yake, kundi kubwa la watu waliokuja kwenye sikukuu walisikia kuwa Yesu alikuwa njiani kuja Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Siku iliyofuata umati mkubwa wa watu waliokuwa wamekuja kwenye Sikukuu walisikia kwamba Isa angekuja Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Siku iliyofuata umati mkubwa uliokuwa umekuja kwenye Sikukuu walisikia kwamba Isa angekuja Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Nayo kesho yake watu wengi walioijia sikukuu walisikia ya kwamba Yesu anakuja Yerusalemu;

Tazama sura Nakili




Yohana 12:12
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, siku sita kabla ya Pasaka, Yesu alifika Bethania, alipokuwapo Lazaro, yeye ambaye Yesu alimfufua katika wafu.


Na kwa sababu hiyo mkutano walikwenda kumlaki, kwa kuwa wamesikia ya kwamba ameifanya ishara hiyo.


Basi watu wengi katika Wayahudi walipata kujua ya kuwa yeye yuko huko, nao wakaja, si kwa ajili yake Yesu tu, ila wamwone na Lazaro, ambaye Yesu alimfufua katika wafu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo