Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 19:1 - Swahili Revised Union Version

Naye alipoingia Yeriko alipita katikati yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu aliingia mjini Yeriko, akawa akipita katika njia za mji huo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu aliingia mjini Yeriko, akawa akipita katika njia za mji huo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu aliingia mjini Yeriko, akawa akipita katika njia za mji huo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akaingia Yeriko, naye alikuwa anapita katikati ya huo mji.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akaingia Yeriko, naye alikuwa anapita katikati ya huo mji.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye alipoingia Yeriko alipita katikati yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 19:1
7 Marejeleo ya Msalaba  

Katika siku zake, Hieli Mbetheli akajenga Yeriko; akatia misingi yake kwa kufiwa na Abiramu mzaliwa wake wa kwanza, na kuyaweka malango yake kwa kufiwa na mwana wake mdogo Segubu; sawasawa na neno la BWANA alilolinena kwa Yoshua mwana wa Nuni.


Wakafika Yeriko; alipokuwa akiondoka kutoka Yeriko, pamoja na wanafunzi wake, na mkutano mkubwa, mwana wa Timayo, Bartimayo, yule mwombaji kipofu, alikuwa ameketi kando ya njia.


Ikawa alipokaribia Yeriko, mtu mmoja kipofu alikuwa ameketi kando ya njia, akiomba sadaka;


Na tazama, palikuwa na mtu, jina lake Zakayo, mkubwa mmoja katika watoza ushuru, naye ni tajiri.


Yoshua, mwana wa Nuni, akawatuma watu wawili kutoka Shitimu kwa siri, ili kupeleleza, akawaambia, Nendeni mkaitazame nchi hii, hasa Yeriko. Wakaenda wakafika nyumbani kwa kahaba mmoja jina lake aliitwa Rahabu, wakalala huko.