Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 19:1 - Swahili Revised Union Version

1 Naye alipoingia Yeriko alipita katikati yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Yesu aliingia mjini Yeriko, akawa akipita katika njia za mji huo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Yesu aliingia mjini Yeriko, akawa akipita katika njia za mji huo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Yesu aliingia mjini Yeriko, akawa akipita katika njia za mji huo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Isa akaingia Yeriko, naye alikuwa anapita katikati ya huo mji.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Isa akaingia Yeriko, naye alikuwa anapita katikati ya huo mji.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Naye alipoingia Yeriko alipita katikati yake.

Tazama sura Nakili




Luka 19:1
7 Marejeleo ya Msalaba  

Katika siku zake, Hieli Mbetheli akajenga Yeriko; akatia misingi yake kwa kufiwa na Abiramu mzaliwa wake wa kwanza, na kuyaweka malango yake kwa kufiwa na mwana wake mdogo Segubu; sawasawa na neno la BWANA alilolinena kwa Yoshua mwana wa Nuni.


Wakafika Yeriko; alipokuwa akiondoka kutoka Yeriko, pamoja na wanafunzi wake, na mkutano mkubwa, mwana wa Timayo, Bartimayo, yule mwombaji kipofu, alikuwa ameketi kando ya njia.


Ikawa alipokaribia Yeriko, mtu mmoja kipofu alikuwa ameketi kando ya njia, akiomba sadaka;


Na tazama, palikuwa na mtu, jina lake Zakayo, mkubwa mmoja katika watoza ushuru, naye ni tajiri.


Yoshua, mwana wa Nuni, akawatuma watu wawili kutoka Shitimu kwa siri, ili kupeleleza, akawaambia, Nendeni mkaitazame nchi hii, hasa Yeriko. Wakaenda wakafika nyumbani kwa kahaba mmoja jina lake aliitwa Rahabu, wakalala huko.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo