Luka 18:43 - Swahili Revised Union Version43 Mara hiyo akapata kuona, akamfuata, huku akimtukuza Mungu. Na watu wote walipoona hayo walimsifu Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema43 Na mara huyo kipofu akapata kuona, akamfuata Yesu akimtukuza Mungu. Watu wote walipoona hayo, wakamsifu Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND43 Na mara huyo kipofu akapata kuona, akamfuata Yesu akimtukuza Mungu. Watu wote walipoona hayo, wakamsifu Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza43 Na mara huyo kipofu akapata kuona, akamfuata Yesu akimtukuza Mungu. Watu wote walipoona hayo, wakamsifu Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu43 Akapata kuona mara hiyo, akamfuata Isa, huku akimsifu Mungu. Watu wote walipoona mambo hayo, nao wakamsifu Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu43 Akapata kuona saa ile ile, akamfuata Isa, huku akimsifu Mwenyezi Mungu. Watu wote walipoona mambo hayo, nao wakamsifu Mungu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI43 Mara hiyo akapata kuona, akamfuata, huku akimtukuza Mungu. Na watu wote walipoona hayo walimsifu Mungu. Tazama sura |