Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 19:2 - Swahili Revised Union Version

2 Na tazama, palikuwa na mtu, jina lake Zakayo, mkubwa mmoja katika watoza ushuru, naye ni tajiri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Palikuwa na mtu mmoja huko mjini aitwaye Zakayo ambaye alikuwa mkuu wa watozaushuru, na pia mtu tajiri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Palikuwa na mtu mmoja huko mjini aitwaye Zakayo ambaye alikuwa mkuu wa watozaushuru, na pia mtu tajiri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Palikuwa na mtu mmoja huko mjini aitwaye Zakayo ambaye alikuwa mkuu wa watozaushuru, na pia mtu tajiri.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Tazama, palikuwa na mtu mmoja mkuu wa watoza ushuru naye alikuwa tajiri, jina lake Zakayo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Tazama, palikuwa na mtu mmoja mkuu wa watoza ushuru naye alikuwa tajiri, jina lake Zakayo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Na tazama, palikuwa na mtu, jina lake Zakayo, mkubwa mmoja katika watoza ushuru, naye ni tajiri.

Tazama sura Nakili




Luka 19:2
6 Marejeleo ya Msalaba  

Filipo, na Bartholomayo; Tomaso, na Mathayo mtoza ushuru; Yakobo wa Alfayo, na Thadayo;


Naye alipoingia Yeriko alipita katikati yake.


Huyu alikuwa akitafuta kumwona Yesu ni mtu wa namna gani, asiweze kwa sababu ya umati wa watu, maana ni mfupi wa kimo.


Na Yesu, alipofika mahali pale, alitazama juu, akamwambia, Zakayo, shuka upesi, kwa kuwa leo imenipasa kushinda nyumbani mwako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo