Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 17:13 - Swahili Revised Union Version

wakapaza sauti wakisema, Ee Yesu, Bwana mkubwa, uturehemu!

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakapaza sauti wakisema, “Yesu Mwalimu, tuonee huruma!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakapaza sauti wakisema, “Yesu Mwalimu, tuonee huruma!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakapaza sauti wakisema, “Yesu Mwalimu, tuonee huruma!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wakapaza sauti, wakasema, “Isa, Bwana, tuhurumie!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wakapaza sauti, wakasema, “Isa, Bwana, tuhurumie!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wakapaza sauti wakisema, Ee Yesu, Bwana mkubwa, uturehemu!

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 17:13
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na tazama, mwanamke Mkanaani wa mipaka ile akatokea, akampazia sauti akisema, Unirehemu, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa sana na pepo.


Yesu alipokuwa akipita kutoka huko, vipofu wawili wakamfuata wakipaza sauti, wakisema, Uturehemu, Mwana wa Daudi.


Na mara nyingi amemtupa katika moto, na katika maji, amwangamize; lakini ukiweza neno lolote, utuhurumie, na kutusaidia.


Alipowaona aliwaambia, Nendeni, mkajioneshe kwa makuhani. Ikawa walipokuwa wakienda walitakasika.


Simoni akajibu akamwambia, Bwana mkubwa, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha, tusipate kitu; lakini kwa neno lako nitazishusha nyavu.