Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 17:13 - Swahili Revised Union Version

13 wakapaza sauti wakisema, Ee Yesu, Bwana mkubwa, uturehemu!

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Wakapaza sauti wakisema, “Yesu Mwalimu, tuonee huruma!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Wakapaza sauti wakisema, “Yesu Mwalimu, tuonee huruma!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Wakapaza sauti wakisema, “Yesu Mwalimu, tuonee huruma!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 wakapaza sauti, wakasema, “Isa, Bwana, tuhurumie!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 wakapaza sauti, wakasema, “Isa, Bwana, tuhurumie!”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 wakapaza sauti wakisema, Ee Yesu, Bwana mkubwa, uturehemu!

Tazama sura Nakili




Luka 17:13
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na tazama, mwanamke Mkanaani wa mipaka ile akatokea, akampazia sauti akisema, Unirehemu, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa sana na pepo.


Yesu alipokuwa akipita kutoka huko, vipofu wawili wakamfuata wakipaza sauti, wakisema, Uturehemu, Mwana wa Daudi.


Na mara nyingi amemtupa katika moto, na katika maji, amwangamize; lakini ukiweza neno lolote, utuhurumie, na kutusaidia.


Alipowaona aliwaambia, Nendeni, mkajioneshe kwa makuhani. Ikawa walipokuwa wakienda walitakasika.


Simoni akajibu akamwambia, Bwana mkubwa, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha, tusipate kitu; lakini kwa neno lako nitazishusha nyavu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo