Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 15:23 - Swahili Revised Union Version

mleteni ndama yule aliyenona mkamchinje; nasi tule na kufurahi;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mchinjeni ndama mnono; tule na kusherehekea!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mchinjeni ndama mnono; tule na kusherehekea!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mchinjeni ndama mnono; tule na kusherehekea!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Leteni ndama aliyenona, mkamchinje ili tuwe na karamu, tule na kufurahi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Leteni ndama aliyenona, mkamchinje ili tuwe na karamu, tule na kufurahi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

mleteni ndama yule aliyenona mkamchinje; nasi tule na kufurahi;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 15:23
10 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu akapiga mbio kwenda kundini, akaleta ndama wa ng'ombe aliye laini, mzuri, akampa mtumishi, naye akaharakisha kuiandaa.


Nafsi yangu itakinai kama kushiba mafuta na vinono; Kinywa changu kitakusifu kwa midomo ya furaha.


Chakula cha mboga palipo na upendo; Ni bora kuliko ng'ombe aliyenona pamoja na kuchukiana.


Amechinja nyama zake, amechanganya divai yake, Ameiandalia meza yake pia.


Na katika mlima huu BWANA wa majeshi atawafanyia mataifa yote karamu ya vitu vinono, karamu ya divai iliyokaa juu ya urojorojo wake, karamu ya vinono vilivyojaa mafuta, karamu ya divai iliyokaa juu ya urojorojo wake, iliyochujwa sana.


Lakini baba aliwaambia watumwa wake, Lileteni upesi vazi lililo bora, mkamvike; mtieni na pete kidoleni, na viatu miguuni;


kwa kuwa huyu mwanangu alikuwa amekufa, naye amefufuka; alikuwa amepotea, naye ameonekana. Wakaanza kushangilia.


Naye yule mwanamke alikuwa na ndama aliyenona nyumbani; akafanya haraka kumchinja; akatwaa na unga, akaukanda, akafanya mkate wa mofa kwa unga huo;