Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 13:13 - Swahili Revised Union Version

Akaweka mikono yake juu yake, naye akanyoka mara hiyo, akamtukuza Mungu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Akamwekea mikono, na mara mwili wake ukawa wima tena, akawa anamtukuza Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Akamwekea mikono, na mara mwili wake ukawa wima tena, akawa anamtukuza Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Akamwekea mikono, na mara mwili wake ukawa wima tena, akawa anamtukuza Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa alipomwekea mikono yake, akasimama wima mara moja, akaanza kumtukuza Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa alipomwekea mikono yake, mara akasimama wima akaanza kumtukuza Mungu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akaweka mikono yake juu yake, naye akanyoka mara hiyo, akamtukuza Mungu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 13:13
13 Marejeleo ya Msalaba  

Makutano walipomwona, walishikwa na hofu, wakamtukuza Mungu, aliyewapa watu amri ya namna hii.


watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kuua, hakitawadhuru kamwe; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapona.


akimsihi sana, akisema, Binti yangu mdogo yuko karibu kufa; nakuomba uje, uweke mkono wako juu yake, apate kupona, na kuishi.


Wala hakuweza kufanya mwujiza wowote huko, isipokuwa aliweka mikono yake juu ya wagonjwa wachache, akawaponya.


Ndipo akaweka tena mikono yake juu ya macho yake, naye akatazama sana; akawa mzima, akaona vyote waziwazi.


Yesu alipomwona alimwita, akamwambia, Mama, umefunguliwa katika udhaifu wako.


Mara hiyo akapata kuona, akamfuata, huku akimtukuza Mungu. Na watu wote walipoona hayo walimsifu Mungu.


Na jua lilipokuwa likichwa, wote waliokuwa na wagonjwa wenye maradhi mbalimbali waliwaleta kwake, akaweka mikono yake juu ya kila mmoja akawaponya.


Anania akaenda zake, akaingia mle nyumbani; akamwekea mikono akisema, Ndugu Sauli, Bwana amenituma, Yesu, yeye aliyekutokea katika njia uliyoijia, upate kuona tena, ukajazwe Roho Mtakatifu.