Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 6:5 - Swahili Revised Union Version

5 Wala hakuweza kufanya mwujiza wowote huko, isipokuwa aliweka mikono yake juu ya wagonjwa wachache, akawaponya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Hakuweza kutenda miujiza hapo, ila aliwawekea mikono wagonjwa wachache, akawaponya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Hakuweza kutenda miujiza hapo, ila aliwawekea mikono wagonjwa wachache, akawaponya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Hakuweza kutenda miujiza hapo, ila aliwawekea mikono wagonjwa wachache, akawaponya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Hakufanya miujiza yoyote huko isipokuwa kuweka mikono yake juu ya wagonjwa wachache na kuwaponya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Hakufanya miujiza yoyote huko isipokuwa kuweka mikono yake juu ya wagonjwa wachache na kuwaponya.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Wala hakuweza kufanya mwujiza wowote huko, isipokuwa aliweka mikono yake juu ya wagonjwa wachache, akawaponya.

Tazama sura Nakili




Marko 6:5
8 Marejeleo ya Msalaba  

Hima, ujiponye huko, maana siwezi kufanya neno lolote, hadi uingiapo humo. Kwa hiyo jina la mji ule likaitwa Soari.


Naye alipoona ya kuwa hamshindi, alimgusa panapo uvungu wa paja lake; ukateguka uvungu wa paja la Yakobo alipokuwa akishindana naye.


Wala hakufanya miujiza mingi huko, kwa sababu ya kutoamini kwao.


akimsihi sana, akisema, Binti yangu mdogo yuko karibu kufa; nakuomba uje, uweke mkono wako juu yake, apate kupona, na kuishi.


Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye.


Ikawa babake Publio alikuwa akiugua homa na kuhara damu. Paulo akaingia kwake, akaomba, akaweka mikono yake juu yake, na kumponya.


Maana ni kweli, sisi nasi tumehubiriwa Habari Njema vile vile kama hao. Lakini neno lile lililosikiwa halikuwafaa hao, kwa sababu halikuchanganyika na imani ndani yao waliosikia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo