Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 12:12 - Swahili Revised Union Version

kwa kuwa Roho Mtakatifu atawafundisha saa ile ile yawapasayo kuyasema.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa maana wakati huo Roho Mtakatifu atawafundisheni kile mnachopaswa kusema.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa maana wakati huo Roho Mtakatifu atawafundisheni kile mnachopaswa kusema.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa maana wakati huo Roho Mtakatifu atawafundisheni kile mnachopaswa kusema.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana Roho wa Mungu atawafundisha wakati huo huo mnachopaswa kusema.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana Roho wa Mwenyezi Mungu atawafundisha wakati huo huo mnachopaswa kusema.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

kwa kuwa Roho Mtakatifu atawafundisha saa ile ile yawapasayo kuyasema.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 12:12
11 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akamwambia, Ni nani aliyekifanya kinywa cha mwanadamu? Au ni nani afanyaye mtu kuwa bubu au kiziwi, au mwenye kuona, au kuwa kipofu? Si mimi, BWANA?


Basi sasa, nenda, nami nitakuwa pamoja na kinywa chako, na kukufundisha utakalolinena.


Lakini hapo watakapowapeleka, msifikirifikiri jinsi mtakavyosema; maana mtapewa saa ile mtakayosema.


Kwa kuwa si ninyi msemao, bali ni Roho wa Baba yenu asemaye ndani yenu.


Mtu mmoja katika mkutano akamwambia, Mwalimu, mwambie ndugu yangu anigawie urithi wetu.


kwa sababu mimi nitawapa kinywa na hekima ambayo watesi wenu wote hawataweza kushindana nayo wala kuipinga.


Ndipo Petro, akijaa Roho Mtakatifu, akawaambia, Enyi wakubwa wa watu na wazee wa Israeli,


lakini hawakuweza kushindana na hiyo hekima na huyo Roho aliyesema naye.


Lakini yeye akijaa Roho Mtakatifu, akakaza macho yake, akitazama mbinguni, akauona utukufu wa Mungu, na Yesu akisimama upande wa mkono wa kulia wa Mungu.