Mathayo 10:20 - Swahili Revised Union Version20 Kwa kuwa si ninyi msemao, bali ni Roho wa Baba yenu asemaye ndani yenu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Maana si nyinyi mtakaosema, bali ni Roho wa Baba yenu asemaye ndani yenu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Maana si nyinyi mtakaosema, bali ni Roho wa Baba yenu asemaye ndani yenu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Maana si nyinyi mtakaosema, bali ni Roho wa Baba yenu asemaye ndani yenu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Kwa sababu si ninyi mtakaokuwa mkinena, bali ni Roho wa Baba yenu atakayekuwa akinena kupitia kwenu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Kwa sababu si ninyi mtakaokuwa mkinena, bali ni Roho wa Mwenyezi Mungu, Baba yenu, atakayekuwa akinena kupitia kwenu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI20 Kwa kuwa si ninyi msemao, bali ni Roho wa Baba yenu asemaye ndani yenu. Tazama sura |