Luka 12:13 - Swahili Revised Union Version13 Mtu mmoja katika mkutano akamwambia, Mwalimu, mwambie ndugu yangu anigawie urithi wetu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Mtu mmoja katika ule umati wa watu akamwambia, “Mwalimu, mwambie ndugu yangu tugawane urithi aliotuachia baba.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Mtu mmoja katika ule umati wa watu akamwambia, “Mwalimu, mwambie ndugu yangu tugawane urithi aliotuachia baba.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Mtu mmoja katika ule umati wa watu akamwambia, “Mwalimu, mwambie ndugu yangu tugawane urithi aliotuachia baba.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Mtu mmoja katika umati ule wa watu akamwambia Isa, “Mwalimu, mwambie ndugu yangu tugawane naye urithi wetu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Mtu mmoja katika umati wa watu akamwambia Isa, “Mwalimu, mwambie ndugu yangu tugawane naye urithi wetu.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 Mtu mmoja katika mkutano akamwambia, Mwalimu, mwambie ndugu yangu anigawie urithi wetu. Tazama sura |