Matendo 6:10 - Swahili Revised Union Version10 lakini hawakuweza kushindana na hiyo hekima na huyo Roho aliyesema naye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Lakini hawakuweza kumshinda kwa sababu ya hekima yake na kwa sababu ya yule Roho aliyemwongoza wakati aliposema. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Lakini hawakuweza kumshinda kwa sababu ya hekima yake na kwa sababu ya yule Roho aliyemwongoza wakati aliposema. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Lakini hawakuweza kumshinda kwa sababu ya hekima yake na kwa sababu ya yule Roho aliyemwongoza wakati aliposema. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Lakini hawakuweza kushindana na ile hekima aliyopewa na Roho wa Mungu alipokuwa akisema. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Lakini hawakuweza kushindana na hekima yake wala huyo Roho ambaye alisema kwake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 lakini hawakuweza kushindana na hiyo hekima na huyo Roho aliyesema naye. Tazama sura |