Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 1:60 - Swahili Revised Union Version

Mamaye akajibu akasema La, sivyo; bali, ataitwa Yohana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini mama yake akasema, “Sivyo, bali ataitwa Yohane.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini mama yake akasema, “Sivyo, bali ataitwa Yohane.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini mama yake akasema, “Sivyo, bali ataitwa Yohane.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini mama yake akakataa na kusema, “Hapana! Jina lake ataitwa Yahya.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini mama yake akakataa na kusema, “Hapana! Jina lake ataitwa Yahya.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mamaye akajibu akasema La, sivyo; bali, ataitwa Yohana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 1:60
6 Marejeleo ya Msalaba  

akapeleka kwa mkono wa Nathani, nabii, naye akamwita jina lake Yedidia, kwa ajili ya BWANA.


Nami nikalala na nabii mwanamke, naye akapata mimba, akazaa mtoto wa kiume. Kisha BWANA akaniambia, Mwite jina lake Maher-shalal-hash-bazi.


asimjue kamwe hadi alipomzaa mwanawe; akamwita jina lake YESU.


Lakini yule malaika akamwambia, Usiogope, Zakaria, maana dua yako imesikiwa, na mkeo Elisabeti atakuzalia mtoto wa kiume, na jina lake utamwita Yohana.


Wakamwambia, Hapana mtu katika jamaa zako aitwaye jina hilo.


Akataka kibao, akaandika ya kwamba, Jina lake ni Yohana. Wakastaajabu wote.