Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 1:63 - Swahili Revised Union Version

63 Akataka kibao, akaandika ya kwamba, Jina lake ni Yohana. Wakastaajabu wote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

63 Naye akaomba kibao cha kuandikia, akaandika hivi: “Yohane ndilo jina lake.” Wote wakastaajabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

63 Naye akaomba kibao cha kuandikia, akaandika hivi: “Yohane ndilo jina lake.” Wote wakastaajabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

63 Naye akaomba kibao cha kuandikia, akaandika hivi: “Yohane ndilo jina lake.” Wote wakastaajabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

63 Akaomba wampe kibao cha kuandikia na kwa mshangao wa kila mtu akaandika: “Jina lake ni Yahya.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

63 Akaomba wampe kibao cha kuandikia na kwa mshangao wa kila mtu akaandika: “Jina lake ni Yahya.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

63 Akataka kibao, akaandika ya kwamba, Jina lake ni Yohana. Wakastaajabu wote.

Tazama sura Nakili




Luka 1:63
7 Marejeleo ya Msalaba  

Rehema na kweli zisiachane nawe; Zifunge shingoni mwako; Ziandike juu ya kibao cha moyo wako.


Haya, nenda sasa, andika neno hili katika kibao mbele ya macho yao, lichore katika kitabu ili liwe kwa ajili ya majira yatakayokuja, kwa ushuhuda hata milele.


Dhambi ya Yuda imeandikwa kwa kalamu ya chuma, na kwa ncha ya almasi; imechorwa katika kibao cha moyo wao, na katika pembe za madhabahu zenu;


BWANA akanijibu, akasema, Iandike njozi ukaifanye iwe wazi sana katika vibao, ili aisomaye apate kuisoma kama maji.


Yesu aliposikia hayo, alistaajabu, akawaambia wale waliomfuata, Amin, nawaambieni, Sijaona imani kubwa namna hii, kwa yeyote katika Israeli.


Lakini yule malaika akamwambia, Usiogope, Zakaria, maana dua yako imesikiwa, na mkeo Elisabeti atakuzalia mtoto wa kiume, na jina lake utamwita Yohana.


Mamaye akajibu akasema La, sivyo; bali, ataitwa Yohana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo