Luka 1:63 - Swahili Revised Union Version63 Akataka kibao, akaandika ya kwamba, Jina lake ni Yohana. Wakastaajabu wote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema63 Naye akaomba kibao cha kuandikia, akaandika hivi: “Yohane ndilo jina lake.” Wote wakastaajabu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND63 Naye akaomba kibao cha kuandikia, akaandika hivi: “Yohane ndilo jina lake.” Wote wakastaajabu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza63 Naye akaomba kibao cha kuandikia, akaandika hivi: “Yohane ndilo jina lake.” Wote wakastaajabu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu63 Akaomba wampe kibao cha kuandikia na kwa mshangao wa kila mtu akaandika: “Jina lake ni Yahya.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu63 Akaomba wampe kibao cha kuandikia na kwa mshangao wa kila mtu akaandika: “Jina lake ni Yahya.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI63 Akataka kibao, akaandika ya kwamba, Jina lake ni Yohana. Wakastaajabu wote. Tazama sura |