2 Samueli 12:25 - Swahili Revised Union Version25 akapeleka kwa mkono wa Nathani, nabii, naye akamwita jina lake Yedidia, kwa ajili ya BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 naye akamtuma nabii Nathani kwa Daudi kuwa amwite mtoto huyo Yedidia kwa ajili ya Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 naye akamtuma nabii Nathani kwa Daudi kuwa amwite mtoto huyo Yedidia kwa ajili ya Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 naye akamtuma nabii Nathani kwa Daudi kuwa amwite mtoto huyo Yedidia kwa ajili ya Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Kwa kuwa Mwenyezi Mungu alimpenda, akatuma neno kwa Daudi kwa kinywa cha nabii Nathani kuwa mtoto aitwe Yedidia kwa ajili ya Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Kwa kuwa bwana alimpenda, akatuma neno kwa Daudi kwa kinywa cha nabii Nathani kuwa mtoto aitwe Yedidia kwa ajili ya bwana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI25 akapeleka kwa mkono wa Nathani, nabii, naye akamwita jina lake Yedidia, kwa ajili ya BWANA. Tazama sura |