Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 1:60 - Swahili Revised Union Version

60 Mamaye akajibu akasema La, sivyo; bali, ataitwa Yohana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

60 Lakini mama yake akasema, “Sivyo, bali ataitwa Yohane.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

60 Lakini mama yake akasema, “Sivyo, bali ataitwa Yohane.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

60 Lakini mama yake akasema, “Sivyo, bali ataitwa Yohane.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

60 Lakini mama yake akakataa na kusema, “Hapana! Jina lake ataitwa Yahya.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

60 Lakini mama yake akakataa na kusema, “Hapana! Jina lake ataitwa Yahya.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

60 Mamaye akajibu akasema La, sivyo; bali, ataitwa Yohana.

Tazama sura Nakili




Luka 1:60
6 Marejeleo ya Msalaba  

akapeleka kwa mkono wa Nathani, nabii, naye akamwita jina lake Yedidia, kwa ajili ya BWANA.


Nami nikalala na nabii mwanamke, naye akapata mimba, akazaa mtoto wa kiume. Kisha BWANA akaniambia, Mwite jina lake Maher-shalal-hash-bazi.


asimjue kamwe hadi alipomzaa mwanawe; akamwita jina lake YESU.


Lakini yule malaika akamwambia, Usiogope, Zakaria, maana dua yako imesikiwa, na mkeo Elisabeti atakuzalia mtoto wa kiume, na jina lake utamwita Yohana.


Wakamwambia, Hapana mtu katika jamaa zako aitwaye jina hilo.


Akataka kibao, akaandika ya kwamba, Jina lake ni Yohana. Wakastaajabu wote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo