Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 1:59 - Swahili Revised Union Version

59 Ikawa siku ya nane wakaja kumtahiri mtoto; wakataka kumpa jina la babaye, Zakaria.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

59 Halafu siku ya nane walifika kumtahiri mtoto, wakataka kumpa jina la baba yake, Zakaria.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

59 Halafu siku ya nane walifika kumtahiri mtoto, wakataka kumpa jina la baba yake, Zakaria.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

59 Halafu siku ya nane walifika kumtahiri mtoto, wakataka kumpa jina la baba yake, Zakaria.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

59 Siku ya nane wakaja kumtahiri mtoto, wakataka yule mtoto aitwe Zakaria, ambalo ndilo jina la baba yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

59 Siku ya nane wakaja kumtahiri mtoto, wakataka yule mtoto aitwe Zekaria, ambalo ndilo jina la baba yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

59 Ikawa siku ya nane wakaja kumtahiri mtoto; wakataka kumpa jina la babaye, Zakaria.

Tazama sura Nakili




Luka 1:59
6 Marejeleo ya Msalaba  

Katika vizazi vyako vyote, kila mtoto wa kiume miongoni mwenu atatahiriwa akiwa na umri wa siku nane, awe mtumishi aliyezaliwa katika nyumba yako au uliyemnunua kwa fedha zako japo hakuwa wa uzao wako.


Siku ya nane mtoto atatahiriwa govi ya zunga lake.


Hata zilipotumia siku nane za kumtahiri, aliitwa jina lake Yesu; kama alivyoitwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.


Akampa agano la tohara; basi Abrahamu akamzaa Isaka, akamtahiri siku ya nane. Isaka akamzaa Yakobo. Yakobo akawazaa wale kumi na wawili, wazee wetu.


Nilitahiriwa siku ya nane, ni mtu wa taifa la Israeli, wa kabila la Benyamini, Mwebrania wa Waebrania, kwa habari ya kuishika torati, ni Farisayo,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo