Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 1:58 - Swahili Revised Union Version

58 Wakasikia jirani zake na jamaa zake ya kwamba Bwana amemwongezea rehema zake, wakafurahi pamoja naye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

58 Jirani na watu wa jamaa yake walipopata habari kwamba Bwana amemwonea huruma kubwa, walifurahi pamoja naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

58 Jirani na watu wa jamaa yake walipopata habari kwamba Bwana amemwonea huruma kubwa, walifurahi pamoja naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

58 Jirani na watu wa jamaa yake walipopata habari kwamba Bwana amemwonea huruma kubwa, walifurahi pamoja naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

58 Majirani zake na jamii zake wakasikia jinsi Mwenyezi Mungu alivyomfanyia rehema kuu, nao wakafurahi pamoja naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

58 Majirani zake na jamii zake wakasikia jinsi Mwenyezi Mungu alivyomfanyia rehema kuu, nao wakafurahi pamoja naye.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

58 Wakasikia jirani zake na jamaa zake ya kwamba Bwana amemwongezea rehema zake, wakafurahi pamoja naye.

Tazama sura Nakili




Luka 1:58
12 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, mtumwa wako ameona kibali machoni pako, nawe umezidisha rehema zako ulizonifanyia kwa kuponya nafsi yangu, nami siwezi kukimbilia mlimani nisipatwe na yale mabaya, nikafa.


Sara akasema, Mungu amenifanyia kicheko; kila asikiaye atacheka pamoja nami.


Humweka nyumbani mwanamke aliye tasa, Awe mama ya watoto mwenye furaha.


Na wafurahi baba yako na mama yako; Na afurahi aliyekuzaa.


Nawe utakuwa na furaha na shangwe, na watu wengi watakufurahia kuzaliwa kwake.


Hivi ndivyo alivyonitendea Bwana katika siku zile alizoniangalia ili kuniondolea aibu yangu mbele ya watu.


Ikawa, siku za kuzaa kwake Elisabeti zilipotimia, alizaa mtoto mwanamume.


Akamwambia na yule aliyemwalika, Ufanyapo chakula cha mchana au cha jioni, usiwaite rafiki zako, wala ndugu zako, wala jamaa zako, wala jirani zako wenye mali; wao wasije wakakualika nawe ukapata malipo.


Furahini pamoja nao wafurahio; lieni pamoja nao waliao.


Na kiungo kimoja kikiumia, viungo vyote huumia nacho, na kiungo kimoja kikitukuzwa, viungo vyote hufurahi pamoja nacho.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo