Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 1:57 - Swahili Revised Union Version

57 Ikawa, siku za kuzaa kwake Elisabeti zilipotimia, alizaa mtoto mwanamume.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

57 Wakati wa kujifungua kwake Elisabeti ulifika, akajifungua mtoto wa kiume.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

57 Wakati wa kujifungua kwake Elisabeti ulifika, akajifungua mtoto wa kiume.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

57 Wakati wa kujifungua kwake Elisabeti ulifika, akajifungua mtoto wa kiume.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

57 Ulipowadia wakati wa Elizabeti kujifungua, alizaa mtoto wa kiume.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

57 Ulipowadia wakati wa Elizabeti kujifungua, alizaa mtoto mwanaume.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

57 Ikawa, siku za kuzaa kwake Elisabeti zilipotimia, alizaa mtoto mwanamume.

Tazama sura Nakili




Luka 1:57
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu si mtu, aseme uongo; Wala si mwanadamu, ajute; Iwapo amesema, hatalitenda? Iwapo amenena, hatalitimiza?


Lakini yule malaika akamwambia, Usiogope, Zakaria, maana dua yako imesikiwa, na mkeo Elisabeti atakuzalia mtoto wa kiume, na jina lake utamwita Yohana.


Zamani za Herode, mfalme wa Yudea, palikuwa na kuhani mmoja, jina lake Zakaria, wa kikundi cha ukuhani cha Abiya, na mkewe alikuwa mmojawapo wa uzao wa Haruni, jina lake Elisabeti.


Mariamu akakaa naye kadiri ya miezi mitatu, kisha akarudi kwenda nyumbani kwake.


Wakasikia jirani zake na jamaa zake ya kwamba Bwana amemwongezea rehema zake, wakafurahi pamoja naye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo