Isaya 8:3 - Swahili Revised Union Version3 Nami nikalala na nabii mwanamke, naye akapata mimba, akazaa mtoto wa kiume. Kisha BWANA akaniambia, Mwite jina lake Maher-shalal-hash-bazi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Nililala na mke wangu ambaye pia ni nabii, akapata mimba, akajifungua mtoto wa kiume. Mwenyezi-Mungu akaniambia, “Mpe mtoto huyo jina ‘Teka-haraka-pokonya-upesi.’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Nililala na mke wangu ambaye pia ni nabii, akapata mimba, akajifungua mtoto wa kiume. Mwenyezi-Mungu akaniambia, “Mpe mtoto huyo jina ‘Teka-haraka-pokonya-upesi.’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Nililala na mke wangu ambaye pia ni nabii, akapata mimba, akajifungua mtoto wa kiume. Mwenyezi-Mungu akaniambia, “Mpe mtoto huyo jina ‘Teka-haraka-pokonya-upesi.’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Kisha nikaenda kwa nabii mke, naye akapata mimba, akazaa mwana. Kisha Mwenyezi Mungu akaniambia, “Mwite huyo mtoto Maher-Shalal-Hash-Bazi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Kisha nikaenda kwa nabii mke, naye akapata mimba, akazaa mwana. Kisha bwana akaniambia, “Mwite huyo mtoto Maher-Shalal-Hash-Bazi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 Nami nikalala na nabii mwanamke, naye akapata mimba, akazaa mtoto wa kiume. Kisha BWANA akaniambia, Mwite jina lake Maher-shalal-hash-bazi. Tazama sura |