Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 8:2 - Swahili Revised Union Version

2 nami nitajipatia mashahidi waaminifu ili kuandika habari, yaani, Uria, kuhani, na Zekaria, mwana wa Yeberekia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Basi, nikajipatia mashahidi wawili waaminifu ambao wangenishuhudia: Kuhani Uria na Zekaria, mwana wa Yeberekia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Basi, nikajipatia mashahidi wawili waaminifu ambao wangenishuhudia: Kuhani Uria na Zekaria, mwana wa Yeberekia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Basi, nikajipatia mashahidi wawili waaminifu ambao wangenishuhudia: Kuhani Uria na Zekaria, mwana wa Yeberekia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Nami nitawaita kuhani Uria, na Zekaria mwana wa Yeberekia kama mashahidi wangu waaminifu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Nami nitawaita kuhani Uria, na Zekaria mwana wa Yeberekia kama mashahidi wangu waaminifu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 nami nitajipatia mashahidi waaminifu ili kuandika habari, yaani, Uria, kuhani, na Zekaria, mwana wa Yeberekia.

Tazama sura Nakili




Isaya 8:2
8 Marejeleo ya Msalaba  

Alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala; akatawala miaka ishirini na tisa katika Yerusalemu; na jina la mama yake aliitwa Abiya, binti Zekaria.


Ufunge huo ushuhuda, ukaitie mhuri sheria kati ya wanafunzi wangu.


Nami nikaitia sahihi ile hati, na kuipiga mhuri, nikawaita mashahidi, nikampimia ile fedha katika mizani.


Hii ndiyo mara yangu ya tatu kuja kwenu. Kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu kila neno litathibitishwa.


Kisha akatwaa watu kumi miongoni mwa wazee wa mji, akawaambia, Ninyi nanyi, ketini hapa. Wakaketi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo