Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 1:58 - Swahili Revised Union Version

Wakasikia jirani zake na jamaa zake ya kwamba Bwana amemwongezea rehema zake, wakafurahi pamoja naye.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Jirani na watu wa jamaa yake walipopata habari kwamba Bwana amemwonea huruma kubwa, walifurahi pamoja naye.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Jirani na watu wa jamaa yake walipopata habari kwamba Bwana amemwonea huruma kubwa, walifurahi pamoja naye.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Jirani na watu wa jamaa yake walipopata habari kwamba Bwana amemwonea huruma kubwa, walifurahi pamoja naye.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Majirani zake na jamii zake wakasikia jinsi Mwenyezi Mungu alivyomfanyia rehema kuu, nao wakafurahi pamoja naye.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Majirani zake na jamii zake wakasikia jinsi Mwenyezi Mungu alivyomfanyia rehema kuu, nao wakafurahi pamoja naye.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakasikia jirani zake na jamaa zake ya kwamba Bwana amemwongezea rehema zake, wakafurahi pamoja naye.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 1:58
12 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, mtumwa wako ameona kibali machoni pako, nawe umezidisha rehema zako ulizonifanyia kwa kuponya nafsi yangu, nami siwezi kukimbilia mlimani nisipatwe na yale mabaya, nikafa.


Sara akasema, Mungu amenifanyia kicheko; kila asikiaye atacheka pamoja nami.


Humweka nyumbani mwanamke aliye tasa, Awe mama ya watoto mwenye furaha.


Na wafurahi baba yako na mama yako; Na afurahi aliyekuzaa.


Nawe utakuwa na furaha na shangwe, na watu wengi watakufurahia kuzaliwa kwake.


Hivi ndivyo alivyonitendea Bwana katika siku zile alizoniangalia ili kuniondolea aibu yangu mbele ya watu.


Ikawa, siku za kuzaa kwake Elisabeti zilipotimia, alizaa mtoto mwanamume.


Akamwambia na yule aliyemwalika, Ufanyapo chakula cha mchana au cha jioni, usiwaite rafiki zako, wala ndugu zako, wala jamaa zako, wala jirani zako wenye mali; wao wasije wakakualika nawe ukapata malipo.


Furahini pamoja nao wafurahio; lieni pamoja nao waliao.


Na kiungo kimoja kikiumia, viungo vyote huumia nacho, na kiungo kimoja kikitukuzwa, viungo vyote hufurahi pamoja nacho.