Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 1:14 - Swahili Revised Union Version

Nawe utakuwa na furaha na shangwe, na watu wengi watakufurahia kuzaliwa kwake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Utakuwa na furaha kubwa na watu wengi watashangilia kwa sababu ya kuzaliwa kwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Utakuwa na furaha kubwa na watu wengi watashangilia kwa sababu ya kuzaliwa kwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Utakuwa na furaha kubwa na watu wengi watashangilia kwa sababu ya kuzaliwa kwake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye atakuwa furaha na shangwe kwako, nao watu wengi watashangilia kwa sababu ya kuzaliwa kwake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye atakuwa furaha na shangwe kwako, nao watu wengi watashangilia kwa sababu ya kuzaliwa kwake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nawe utakuwa na furaha na shangwe, na watu wengi watakufurahia kuzaliwa kwake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 1:14
8 Marejeleo ya Msalaba  

Sara akasema, Mungu amenifanyia kicheko; kila asikiaye atacheka pamoja nami.


Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mpumbavu humdharau mamaye.


Mwanangu, kama moyo wako una hekima, Moyo wangu utafurahi, naam, moyo wangu;


Baba yake mwenye haki atashangilia; Naye amzaaye mtoto mwenye hekima atamfurahia.


Na alaaniwe mtu yule aliyemletea baba yangu habari, akisema, Umezaliwa mtoto wa kiume; na kumfurahisha sana.


Lakini yule malaika akamwambia, Usiogope, Zakaria, maana dua yako imesikiwa, na mkeo Elisabeti atakuzalia mtoto wa kiume, na jina lake utamwita Yohana.


Kwa sababu atakuwa mkuu mbele za Bwana; hatakunywa divai wala kileo; naye atajazwa Roho Mtakatifu hata tangu tumboni mwa mamaye.


Wakasikia jirani zake na jamaa zake ya kwamba Bwana amemwongezea rehema zake, wakafurahi pamoja naye.