Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 48:22 - Swahili Revised Union Version

Hapana amani kwa waovu, asema BWANA.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Watu waovu sitawapa amani.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Watu waovu sitawapa amani.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Watu waovu sitawapa amani.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Hakuna amani kwa waovu,” asema Mwenyezi Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Hakuna amani kwa waovu,” asema bwana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hapana amani kwa waovu, asema BWANA.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 48:22
9 Marejeleo ya Msalaba  

Basi mpanda farasi mmoja akatoka awalaki, akasema, Mfalme asema hivi, Je! Ni amani? Yehu akasema, Wewe una nini na amani? Geuka unifuate. Yule mlinzi akatoa habari, akasema, Yule mjumbe amewafikia, lakini harudi tena.


Ndipo akapeleka mpanda farasi wa pili, naye akawafikia, akasema, Mfalme asema hivi, Je! Ni amani? Yehu akasema, Wewe una nini na amani? Geuka unifuate.


Nisikilizeni, enyi visiwa; tegeni masikio yenu, enyi makabila ya watu mlio mbali sana; BWANA ameniita tangu tumboni; toka tumbo la mama yangu amenitaja jina langu.


Bali wabaya wanafanana na bahari iliyochafuka; maana haiwezi kutulia, na maji yake hutoa tope na takataka.


Hapana amani kwa waovu; asema Mungu wangu.


Nao watatoka nje na kuitazama mizoga ya watu walioniasi; maana funza wao hatakufa, wala moto wao hautazimika nao watakuwa chukizo machoni pa wote wenye mwili.


akisema, Laiti ungalijua, hata wewe katika siku hii, yapasayo amani! Lakini sasa yamefichwa machoni pako.


Wala njia ya amani hawakuijua.