Luka 19:42 - Swahili Revised Union Version42 akisema, Laiti ungalijua, hata wewe katika siku hii, yapasayo amani! Lakini sasa yamefichwa machoni pako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema42 akisema: “Laiti ungelijua leo hii mambo yaletayo amani! Lakini sasa yamefichika machoni pako. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND42 akisema: “Laiti ungelijua leo hii mambo yaletayo amani! Lakini sasa yamefichika machoni pako. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza42 akisema: “Laiti ungelijua leo hii mambo yaletayo amani! Lakini sasa yamefichika machoni pako. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu42 akisema, “Laiti ungejua, hata wewe leo, yale yangeleta amani, lakini sasa yamefichika machoni pako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu42 akisema, “Laiti ungalijua hata wewe leo yale ambayo yangeleta amani, lakini sasa yamefichika machoni pako. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI42 akisema, Laiti ungalijua, hata wewe katika siku hii, yapasayo amani! Lakini sasa yamefichwa machoni pako. Tazama sura |