Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 19:41 - Swahili Revised Union Version

41 Alipofika karibu aliuona mji, akaulilia,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

41 Alipokaribia zaidi na kuuona ule mji, Yesu aliulilia

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

41 Alipokaribia zaidi na kuuona ule mji, Yesu aliulilia

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

41 Alipokaribia zaidi na kuuona ule mji, Yesu aliulilia

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

41 Alipokaribia Yerusalemu na kuuona mji, aliulilia,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

41 Alipokaribia Yerusalemu na kuuona mji, aliulilia,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

41 Alipofika karibu aliuona mji, akaulilia,

Tazama sura Nakili




Luka 19:41
14 Marejeleo ya Msalaba  

Akamkazia macho hata akatahayari; na yule mtu wa Mungu akalia machozi.


Macho yangu yachuruzika mito ya machozi, Kwa sababu hawaitii sheria yako.


Nimewaona watendao uhaini nikachukizwa, Kwa sababu hawakulitii neno lako.


Ghadhabu kuu imenishika kwa sababu ya wasio haki, Waiachao sheria yako.


Kwa sababu hiyo nasema, Geuza uso wako usinitazame, nipate kulia kwa uchungu; usijishughulishe kunifariji, kwa ajili ya kuharibika kwake binti ya watu wangu.


Maana BWANA ataondoka kama vile katika mlima Perasimu, ataghadhibika kama vile katika bonde la Gibeoni; apate kufanya kazi yake, kazi yake ya ajabu; na kulitimiza tendo lake, tendo lake la ajabu.


Bali kama hamtaki kusikia, roho yangu italia kwa siri, kwa sababu ya kiburi chenu; na jicho langu litalia sana na kutoka machozi mengi, kwa kuwa kundi la BWANA limechukuliwa mateka.


Mimi hapa sikufanya haraka kuacha kuwa mchungaji nyuma yako; wala sikuitamani siku ya maradhi ya kuua; wewe unajua; yaliyotoka midomoni mwangu yalikuwa mbele za uso wako.


Laiti kichwa changu kingekuwa maji, na macho yangu kuwa chemchemi ya machozi, ili nipate kulia mchana na usiku kwa ajili yao waliouawa wa binti ya watu wangu!


Niwezeje kukuacha, Efraimu? Niwezeje kukuachilia Israeli? Niwezeje kukufanya kama Adma? Niwezeje kukuweka kama Seboimu? Moyo wangu umegeuka ndani yangu, huruma zangu zimewaka pamoja.


akisema, Laiti ungalijua, hata wewe katika siku hii, yapasayo amani! Lakini sasa yamefichwa machoni pako.


Yesu akalia machozi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo